JINSI YA KUTENGENEZA JUICE YA 2PASSION NA KAROTI

➡️Karibuni, juice ya passion na karoti. Hii nime tengeneza jana, kwa ajili ya my girls wamekunywa baada ya kutoka shule.


➡️Baada ya kuosha karoti na mapassion, nikakata kata karoti na kuweka ktk blender, nika weka pia na passion. Nika weka na maji glass 3 kwenye blender, kisha nika blend hadi ilipokuwa tayari. Nikachuja na kuweka sukari kiasi.


➡️Kisha nikachukua glass nikaweka ice cubes na mint, nikamimina juice ktk glass nikaweka na mirija na hapo juice yetu ikawa tayari kwa kunywa.

➡️Karibu kwenye comments ushare uzoefu wako chochote kile kuhusu juisi ya passiona na karoti, pia maswali na mengineyo.

Published by eunicemahundi

Hi🙋🏾, Naitwa Eunice Mahundi, ni #foodblogger na napenda sana mapishi, wengi mna nifahamu kama Mjasiriamali Ila food blogging ni kitu kingine nacho kipenda sana. 🍲🍝🍹🍷🍚🍽 Mapishi Yangu huwa ni simple, Ila yanavutia na mengi ni swahili cuisine, pia huwa napost dondoo za jikoni kama; -Usafi -vyombo -ratiba ya chakula/mapishi -nk Karibu sana na ione malkia wa jiko blog kama nyumbani kwako, ujifunze mengi. Ukiwa na maswali, maoni au chochote kile wasaliana nami: 📧 eunicemahundi@yahoo.com Whatsapp : 0752 741 831or 0657 234 897

2 thoughts on “JINSI YA KUTENGENEZA JUICE YA 2PASSION NA KAROTI

    1. Passion mbona ukisaga laziima usage na mbegu, na huwa haiwi chungu. Karibu kuchunguza labda Kuna kitu kinasababisha, au ukitengeneza tengeneza ya kunywa siku moja iishe isilale uone kama itakuwa chungu. Check na ma passion quality yk ikoje.

      Like

Leave a reply to Anonymous Cancel reply

Design a site like this with WordPress.com
Get started