Mishikaki huwa naipenda sn na nyama choma kwa ujumla sijui nyie wenzangu? Iwe Kuku, mbuzi, mbuzi katoliki, ngo’mbe nk
ππΆπ’π€π΄πΊ Hiyo hapo juu ni mishikaki ya Kuku nilimchoma jana usiku, nilitumia nyama ile ya kidari cha Kuku.
.
π½πΉ Mishikaki nikianza kuiandaa asubuhi, baada ya kuosha nyama, nikakata vipande vya wastani nikaweka chumvi, limao, tangawizi, kitunguu saumu na rosemary nikachanganya nyama na viungo vizuri kisha nikaiweka kwenye fridge.
. Ili viungo vikolee vizuri.
ππ Usiku ndio nikaitoa nyama, nika weka kwenye
Vijiti kisha nikachoma kwenye oven, Kwa moto wa wastani Kama dk 90 hivi ikawa tayari. Nikaila pamoja na chipsi mayai na salad. #karibu
.
.
.
#cucumbersalad #tomatosalad #easycookingathome #instaprenuer #nyamachoma #foodcontent #brochettedwpoulet