KUKU CHOMA πŸ—

Kuku chomaπŸ—πŸ—; ni wazuri wanafaa kuliwa na ugali, chipsi, ndizi choma, pilau nk.

πŸ—πŸ—πŸ—πŸ—
Baada ya kuosha mapaja ya Kuku, nikaweka ndimu, kitunguu saumu, tangawizi, na chumvi. Kisha nikaweka kwenye fridge usiku mzima ili viungo vikolee vizuri. Mchana wake ndio nika wachoma kwenye oven.
#karibuni
πŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏ
Kupata ratiba ya chakula ya mwezi mzima, ipo ktk soft copy tsh 10,000 Whatsap 0752 741 831.
.
πŸ‘‡πŸΏ
Follow @timumafanikio @madada3boutique @malkiawajiko .
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.

#chickenleg #chickenbarbeque #lemonchicken #nyamachoma
#malkiawajiko #swahilifood #tanzanianfood #mapishi #chakula #lunchtimeπŸ˜‹ #malkiawajiko #jifunzemapishi #jikoni #homecookfood #simplecooking #quickandeasyfood #bonnapetit #simplelunch #cookingtimeπŸ”ͺ #barbequechicken #kukuchoma

Design a site like this with WordPress.com
Get started