PATA RATIBA YA CHAKULA/MAPISHI

Bado una hangaika kuwaza upike nini?? Hadi kichwa kinauma, hujui breakfast iweje, lunch au dinner????

Huna haja ya kusumbuka tena, Malkia wa Jiko nimekuandalia ratiba ya chakula/mapishi unayo pata kiganjani mwako. Maana ratiba ni kitendea kazi muhimu sana kuwa nayo ili kazi ya mapishi iwe rahisi na usipoteze muda.

Ratiba ni ya mwezi mzima, milo yote mitatu na utaipata fasta kwa tsh 10,000 iko katika soft copy, whatsap 0752 741 831.

Design a site like this with WordPress.com
Get started