JINSI YA KUTENGENEZA SIMPLE BISCUITS

Leo nitashare recipe ya simple biscuits, ni rahisi sana kutengeneza na inatumia muda mfupi sana, hizi hata wanangu wanaweza kutengeneza wenyewe bila shida. Mahitaji;-Ngano- robo kilo (250 gram)-Sukari- vijiko 5 vya kulia chakula-Siagi- vijiko 3 vya kulia chakula-Mayai 2 makubwa-maziwa 250ml-baking powder kijiko 1 cha cha Vifaa utakavyotumia;-Rolling pin(ya kusukumia chapati)-Mwiko-Kibao cha kusukumia chapati /Continue reading “JINSI YA KUTENGENEZA SIMPLE BISCUITS”

Design a site like this with WordPress.com
Get started