SALAD AFYA, Je unaifahamu?

-Salad AFYA: hii salad ni tamu sana, yani kama una mtoto au hata mtu mzima hapendi mboga za majani, hii salad ndio solution yake.
Niliamua kupipa hilo jina, sababu hii salad ina mboga mboga mchanganyiko ambazo zote zina virutubisho muhimu kwa AFYA ya mwili.
.

Kama unavyo ona kwenye video, nimeweka nyanya, kitunguu, boho, Karoti, limao na chumvi, huwa naweka na Tango (ingawa hapa sikuweka)
Kuandaa hii salad ni rahisi, nikisha osha kila kitu, nakatakata vyote naweka kwenye bakuli, naweka limao na chumvi, namix vizuri na salad inakuwa tayari kuliwa.
.
Huwa kwangu tuna Kula na pilau, nyama choma, Ndizi choma, chipsi na chochote kile mtu atakavyo jisikia, au kula salad yenyewe tupu.
.

Tengeneza hii salad utakuja nishukuru, endelea kutembelea mallkia wa jiko blog utapa recipes nzuri sana na dondoo za jikoni.
.
-subscribe #malkiawajikoblog, ili usipitwe kila napo post
Pia like posts na share na uwaependao nao waongeze maarifa

Published by eunicemahundi

Hi🙋🏾, Naitwa Eunice Mahundi, ni #foodblogger na napenda sana mapishi, wengi mna nifahamu kama Mjasiriamali Ila food blogging ni kitu kingine nacho kipenda sana. 🍲🍝🍹🍷🍚🍽 Mapishi Yangu huwa ni simple, Ila yanavutia na mengi ni swahili cuisine, pia huwa napost dondoo za jikoni kama; -Usafi -vyombo -ratiba ya chakula/mapishi -nk Karibu sana na ione malkia wa jiko blog kama nyumbani kwako, ujifunze mengi. Ukiwa na maswali, maoni au chochote kile wasaliana nami: 📧 eunicemahundi@yahoo.com Whatsapp : 0752 741 831or 0657 234 897

Leave a comment

Design a site like this with WordPress.com
Get started