WALI WA NAZI

➡️Hope mko poa, leo napenda kushare recipe ya wali wa nazi.
Mahitaji
Mchele kikombe kl
Tui zito kikombe vikombe 2
Tui jepesi kikombe lt 1
Chumvi kijiko cha chaib1
Punje 10 za kitunguu saumu (zisage) na mafuta vijiko 2 vikubwa.

🍚 Jinsi ya kupika 👇🏿
nimeosha mchele Kisha nikaweka pembeni uchuje maji. Nikawasha rice cooker, nikatia mafuta, kisha nikasaga vitunguu nikweka kwenye rice cooker, nika viacha Kama dk 1, nikatia tui jepesi, nikaweka na chumvi nikafunika na kuacha hadi tui jepesi lilipo karibia kuchemka nikaweka mchele, ni kamix vizuri na tui nikafunika, na kuacha uchemke hadi tui jepesi rikaribia kukauka, nikaweka tui zito na kugeuza wali, nikaacha iendelee kuiva taratibu hadi wali ulipo iva na kuanza kukauka. Ukawa tyr kuliwa.

Recipe yangu ya wali wa nazi ndio hiyo, like, share na comments .

Published by eunicemahundi

Hi🙋🏾, Naitwa Eunice Mahundi, ni #foodblogger na napenda sana mapishi, wengi mna nifahamu kama Mjasiriamali Ila food blogging ni kitu kingine nacho kipenda sana. 🍲🍝🍹🍷🍚🍽 Mapishi Yangu huwa ni simple, Ila yanavutia na mengi ni swahili cuisine, pia huwa napost dondoo za jikoni kama; -Usafi -vyombo -ratiba ya chakula/mapishi -nk Karibu sana na ione malkia wa jiko blog kama nyumbani kwako, ujifunze mengi. Ukiwa na maswali, maoni au chochote kile wasaliana nami: 📧 eunicemahundi@yahoo.com Whatsapp : 0752 741 831or 0657 234 897

13 thoughts on “WALI WA NAZI

Leave a comment

Design a site like this with WordPress.com
Get started