JINSI YA KUPIKA KISAMVU CHA NAZI

➡️Kisamvu cha nazi; nime kipika jana kwa ajili ya mlo wa jioni. Yani hii pia ni mojawapo ya mboga za majani nazo zipenda.

🍲
Nimekiosha kwanza, nika acha kichuje maji.

kisha nika chambua na kukitwanga nikatia na kitunguu saumu kidogo wakati wa kutwanga. Halafu nika kuchemsha.

Nikakichesha, kilipo karibia. Kuiva weka kitunguu na pilipil. Maji yalipo kaukia kabisa nikatia tui zito la nazi.

#karibuni

🍲

Kisamvu kitaliwa na wali pamoja na samaki

Published by eunicemahundi

Hi🙋🏾, Naitwa Eunice Mahundi, ni #foodblogger na napenda sana mapishi, wengi mna nifahamu kama Mjasiriamali Ila food blogging ni kitu kingine nacho kipenda sana. 🍲🍝🍹🍷🍚🍽 Mapishi Yangu huwa ni simple, Ila yanavutia na mengi ni swahili cuisine, pia huwa napost dondoo za jikoni kama; -Usafi -vyombo -ratiba ya chakula/mapishi -nk Karibu sana na ione malkia wa jiko blog kama nyumbani kwako, ujifunze mengi. Ukiwa na maswali, maoni au chochote kile wasaliana nami: 📧 eunicemahundi@yahoo.com Whatsapp : 0752 741 831or 0657 234 897

Leave a comment

Design a site like this with WordPress.com
Get started