VIAZI VITAMU VYA KUKAANGA (sweet potatoes)

Viazi vitamu vya kukaanga, ni vizuri sana hasa Kwa chai. Mi napenda sana kuvila huku kukiwa na kachumbari pembeni.


.
🍽
Niliosha viazi, Kisha nika menya na kuvikata ktk vipande vya wastani, Kisha nikaloweka viazi ktk maji ambayo nilitia chumvi kidogo. Baada ya Kama nusu saa nikavitoa, na kuweka kwenye chujio vichuje maji. Kisha ndio nikavikaanga kwenye mafuta Kwa moto ambao haukuwa mkali sn.
.
🍽
Baada ya viazi kuiva nikavitoa kwenye mafuta na kuviacha and vipoe, kisha vikaliwa pamoja na kachumbari, na chai.
#karibuni
.
Kupata ratiba ya chakula ya mwezi mzima, ipo ktk soft copy tsh 10,000 Whatsap 0752 741 831.

Published by eunicemahundi

Hi🙋🏾, Naitwa Eunice Mahundi, ni #foodblogger na napenda sana mapishi, wengi mna nifahamu kama Mjasiriamali Ila food blogging ni kitu kingine nacho kipenda sana. 🍲🍝🍹🍷🍚🍽 Mapishi Yangu huwa ni simple, Ila yanavutia na mengi ni swahili cuisine, pia huwa napost dondoo za jikoni kama; -Usafi -vyombo -ratiba ya chakula/mapishi -nk Karibu sana na ione malkia wa jiko blog kama nyumbani kwako, ujifunze mengi. Ukiwa na maswali, maoni au chochote kile wasaliana nami: 📧 eunicemahundi@yahoo.com Whatsapp : 0752 741 831or 0657 234 897

Leave a comment

Design a site like this with WordPress.com
Get started