MIHOGO YA KUKAANGA

Mihogo ya kukaanga, (#friedcassava ) moja ya kitu nachopenda kula iwe asubuhi, mchana au jioni. Hii ilikuwa kitafunwa changu cha asubuhi na chai ya rangi, nilikosa chachandu tu.
. ☕️🍽 .

image
Nilimenya mihogo kisha nikaosha na kuikata kata vipande vidogo, nikailoweka kwenye maji ambayo niliweka chumvi kama nusu saa, kisha nika mwaga maji Na kuiweka kwenye chujio ichuje maji. Baada ya hapo nika ikaanga kwenye mafuta kwa moto wa wastani. . 🍴
.
Ni mihogo mizuri, mitamu ina unga na milaini. #karibuni .
.
.
.
#mihogo #cassava #cassavafries #malkiawajiko #mapishi #swahilifood #tanzanianfood #africanfoods #tanzanianblogger #cookinghome #simplecooking #homecookingrocks #wanawake #chakula

Published by eunicemahundi

Hi🙋🏾, Naitwa Eunice Mahundi, ni #foodblogger na napenda sana mapishi, wengi mna nifahamu kama Mjasiriamali Ila food blogging ni kitu kingine nacho kipenda sana. 🍲🍝🍹🍷🍚🍽 Mapishi Yangu huwa ni simple, Ila yanavutia na mengi ni swahili cuisine, pia huwa napost dondoo za jikoni kama; -Usafi -vyombo -ratiba ya chakula/mapishi -nk Karibu sana na ione malkia wa jiko blog kama nyumbani kwako, ujifunze mengi. Ukiwa na maswali, maoni au chochote kile wasaliana nami: 📧 eunicemahundi@yahoo.com Whatsapp : 0752 741 831or 0657 234 897

2 thoughts on “MIHOGO YA KUKAANGA

Leave a comment

Design a site like this with WordPress.com
Get started