Mishikaki ya kuku-

Mishikaki huwa naipenda sn na nyama choma kwa ujumla sijui nyie wenzangu? Iwe Kuku, mbuzi, mbuzi katoliki, ngo’mbe nk

πŸ—πŸŒΆπŸ’πŸ€πŸ΄πŸΊ Hiyo hapo juu ni mishikaki ya Kuku nilimchoma jana usiku, nilitumia nyama ile ya kidari cha Kuku.
.image
🍽🍹 Mishikaki nikianza kuiandaa asubuhi, baada ya kuosha nyama, nikakata vipande vya wastani nikaweka chumvi, limao, tangawizi, kitunguu saumu na rosemary nikachanganya nyama na viungo vizuri kisha nikaiweka kwenye fridge.
. Ili viungo vikolee vizuri.
🍟🍟 Usiku ndio nikaitoa nyama, nika weka kwenye
Vijiti kisha nikachoma kwenye oven, Kwa moto wa wastani Kama dk 90 hivi ikawa tayari. Nikaila pamoja na chipsi mayai na salad. #karibu
.
.
.
#cucumbersalad #tomatosalad #easycookingathome #instaprenuer #nyamachoma #foodcontent #brochettedwpoulet

Published by eunicemahundi

HiπŸ™‹πŸΎ, Naitwa Eunice Mahundi, ni #foodblogger na napenda sana mapishi, wengi mna nifahamu kama Mjasiriamali Ila food blogging ni kitu kingine nacho kipenda sana. 🍲🍝🍹🍷🍚🍽 Mapishi Yangu huwa ni simple, Ila yanavutia na mengi ni swahili cuisine, pia huwa napost dondoo za jikoni kama; -Usafi -vyombo -ratiba ya chakula/mapishi -nk Karibu sana na ione malkia wa jiko blog kama nyumbani kwako, ujifunze mengi. Ukiwa na maswali, maoni au chochote kile wasaliana nami: πŸ“§ eunicemahundi@yahoo.com Whatsapp : 0752 741 831or 0657 234 897

Leave a comment

Design a site like this with WordPress.com
Get started