Kitchen sponge

Kitchen tip๐Ÿค—: Ok, leo ngoja niwape dondoo moja, kuhusu sponge za jikoni tunazo tumia kuoshea vyombo. Sponge zinatakiwa zitunzwe ktk mazingira mazuri ili zisibebe bacteria ambao wanaweza kuhatarisha afya zetu.


๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ

Malkia wa jiko
  • sponge baada ya kuitumia, ioshe ikamue ichuje maji na ianike juani au weka mahali pakavu ikauke kabla ya kuitumia tena.โœ…
  • usihifadhi sponge chini ya sink hasa ikiwa mbichi itavunda na kutoa harufu, na kukaribisha bacteria.โœ…
  • loweka sponge kwenye vinegar tia na chumvi kidogo, walau kila baada ya siku moja kama saa nzima, Kisha ianike ikauke itasaidia kuondoa bacteria. โœ…
  • tumia sponge kwa wiki mbili baada ya hapo itupe na utumie sponge mpya.โœ…
    ๐Ÿ‘“๐Ÿ‘“
    Zingatia hilo kulinda afya yako na familia yako.
    .Follow๐Ÿ‘‰๐Ÿฟ @

Published by eunicemahundi

Hi๐Ÿ™‹๐Ÿพ, Naitwa Eunice Mahundi, ni #foodblogger na napenda sana mapishi, wengi mna nifahamu kama Mjasiriamali Ila food blogging ni kitu kingine nacho kipenda sana. ๐Ÿฒ๐Ÿ๐Ÿน๐Ÿท๐Ÿš๐Ÿฝ Mapishi Yangu huwa ni simple, Ila yanavutia na mengi ni swahili cuisine, pia huwa napost dondoo za jikoni kama; -Usafi -vyombo -ratiba ya chakula/mapishi -nk Karibu sana na ione malkia wa jiko blog kama nyumbani kwako, ujifunze mengi. Ukiwa na maswali, maoni au chochote kile wasaliana nami: ๐Ÿ“ง eunicemahundi@yahoo.com Whatsapp : 0752 741 831or 0657 234 897

Leave a comment

Design a site like this with WordPress.com
Get started